Select Page
Profile Photo

JoramOffline

0 out of 5
0 Ratings

    Forum Replies Created

    • Author
      Posts
    • in reply to: Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango #3860
      Joram
      ADMINSTRATOR

        Mwenyekiti wa UWT TAIFA Ndugu Mary Chatanda na Makamu Mwenyekiti Ndugu Zainabu Shomari wamepokelewa kwa kishindo kikubwa , Ukumbi umefurika.

        UWT TAIFA

        UWT TAIFA

        UWT TAIFA

        in reply to: Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango #3859
        Joram
        ADMINSTRATOR

          Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yahaya Nawanda wakati akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga baada ya kuweka jiwe la msingi katika hospitali hiyo.

          Hospitali ya Rufaa

          Hospitali ya Rufaa

          Hospitali ya Rufaa

          Hospitali ya Rufaa

          in reply to: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #3852
          Joram
          ADMINSTRATOR

            Biashara kati ya Tanzania na India inatarajiwa kufika $6B mwaka 2023. Hii inatokana na kufunguliwa kwa masoko ya bidhaaa za kilimo ikiwepo parachichi, na nafaka mbalimbali.

            Biashara kati ya Tanzania na India

            Biashara kati ya Tanzania na India

            Biashara kati ya Tanzania na India

            Biashara kati ya Tanzania na India

            in reply to: Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar #3851
            Joram
            ADMINSTRATOR

              Halmashauri za Mkoa wa Singida wameshauriwa kufanya makisio sahihi ya mapato ya ndani ya Halmashauri pamoja na kuimarisha ushirikishwaji wa Wakuu wa Idara katika ukusanyaji wa mapato ya ndani hatua itakayopelekea ongezeko la mapato na kuondokana na utegemezi toka Serikali Kuu.

              Singida

              Singida

              Singida

              Singida

              in reply to: Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar #3850
              Joram
              ADMINSTRATOR

                Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, itaendelea kugharamia utekelezaji wa miradi ya kimkakati ili kuhakikisha inakamilika na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa wa taifa.

                Makamu wa Rais

                Makamu wa Rais

                Makamu wa Rais

                Makamu wa Rais

                Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango leo Januari 18, 2023 ameweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa kutoka Tabora hadi Isaka (165km).

                Ujenzi wa Reli ya Kisasa

                Ujenzi wa Reli ya Kisasa

                Ujenzi wa Reli ya Kisasa

                Ujenzi wa Reli ya Kisasa

                in reply to: Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar #3849
                Joram
                ADMINSTRATOR

                  Msarifu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Uongozi wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa bodi Balozi Tuvako Manongi.

                  Benjamin Mkapa Foundation

                  Benjamin Mkapa Foundation

                  Benjamin Mkapa Foundation

                  Benjamin Mkapa Foundation

                  Benjamin Mkapa FoundationAkiambatana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Dk. Ellen Senkoro pamoja na Wafanyakazi wa taasisi hiyo. 

                  in reply to: Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar #3848
                  Joram
                  ADMINSTRATOR

                    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bank of Tanzania Emmanuel Mpawe Tutuba.BOT Zanzibar

                    BOT Zanzibar

                    BOT Zanzibar

                    BOT Zanzibar

                    BOT ZanzibarAliambatana na Waziri Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Dkt. Saada Salum, Gavana Mstaafu Prof. Florens Luoga na Wafanyakazi kutoka Matawi ya BOT Zanzibar na Bara. Leo Jumatano, 18 Januari 2023.

                    in reply to: Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar #3646
                    Joram
                    ADMINSTRATOR

                      Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Suluhu Samia ameongoza kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika leo Jumamosi tarehe 14, Januari , 2023 Ikulu Jijini Dar Es Salaam.

                      Chama Cha Mapinduzi (CCM)

                      Chama Cha Mapinduzi (CCM)

                      Chama Cha Mapinduzi (CCM)

                      Chama Cha Mapinduzi (CCM)

                      in reply to: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #2435
                      Joram
                      ADMINSTRATOR

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa The People Great Hall pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukipigwa ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping wakati akikagua Gwaride la Heshima katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na ujumbe wake kwenye mazungumzo ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

                        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping wakishuhudia wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki .

                        in reply to: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #2361
                        Joram
                        ADMINSTRATOR

                          Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Peking, Beijing nchini China kwa ajili ya ziara ya Kiserikali tarehe 02 Novemba, 2022

                          Suluhu Hassan yuko nchini China

                          in reply to: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #2025
                          Joram
                          ADMINSTRATOR

                            Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi wa Wilaya ya Kibondo wakiwa kwenye uwanja wa mkutano kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akiwahutubia tarehe 16 Oktoba, 2022.

                            Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi

                            Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi

                            Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi

                            Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi

                            in reply to: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #2024
                            Joram
                            ADMINSTRATOR

                              Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Profesa Makame Mbarawa pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kuashiria ufunguzi wa barabara ya Kabingo-Nyakanazi km 50 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami katika hafla fupi iliyofanyika Kakonko Mkoani Kigoma tarehe 16 Oktoba, 2022.

                              ufunguzi wa barabara

                              in reply to: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #1959
                              Joram
                              ADMINSTRATOR

                                Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba Mkoani Kagera kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili.

                                katika Uwanja wa Ndege

                                in reply to: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #1929
                                Joram
                                ADMINSTRATOR

                                  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya siku 2 Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Oktoba, 2022.

                                  William Samoei Ruto

                                  William Samoei Ruto

                                  William Samoei Ruto

                                  William Samoei Ruto

                                  William Samoei Ruto

                                Media

                                Groups

                                Group logo of Society
                                Society
                                Public Group
                                Group logo of Tourism industry
                                Tourism industry
                                Public Group