Select Page
#3850
Joram
ADMINSTRATOR

    Ujenzi wa Reli ya Kisasa kutoka Tabora hadi Isaka

    Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, itaendelea kugharamia utekelezaji wa miradi ya kimkakati ili kuhakikisha inakamilika na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa wa taifa.

    Makamu wa Rais

    Makamu wa Rais

    Makamu wa Rais

    Makamu wa Rais

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango leo Januari 18, 2023 ameweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa kutoka Tabora hadi Isaka (165km).

    Ujenzi wa Reli ya Kisasa

    Ujenzi wa Reli ya Kisasa

    Ujenzi wa Reli ya Kisasa

    Ujenzi wa Reli ya Kisasa