-
Joram replied to the topic Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango in the forum
Society in the group Society
Mwenyekiti wa UWT TAIFA Ndugu Mary Chatanda na Makamu Mwenyekiti Ndugu Zainabu Shomari wamepokelewa kwa kishindo kikubwa , Ukumbi umefurika.



-
Joram replied to the topic Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango in the forum
Society in the group Society
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yahaya Nawanda wakati akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga baada ya kuweka jiwe la msingi katika hospitali hiyo.




-
Joram replied to the topic Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania in the forum Real life
Biashara kati ya Tanzania na India inatarajiwa kufika $6B mwaka 2023. Hii inatokana na kufunguliwa kwa masoko ya bidhaaa za kilimo ikiwepo parachichi, na nafaka mbalimbali.




-
Joram replied to the topic Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar in the forum Real life
Halmashauri za Mkoa wa Singida wameshauriwa kufanya makisio sahihi ya mapato ya ndani ya Halmashauri pamoja na kuimarisha ushirikishwaji wa Wakuu wa Idara katika ukusanyaji wa mapato ya ndani hatua itakayopelekea ongezeko la mapato na kuondokana na utegemezi toka Serikali Kuu.




-
Joram replied to the topic Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar in the forum Real life
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, itaendelea kugharamia utekelezaji wa miradi ya kimkakati ili kuhakikisha inakamilika na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa wa taifa.




- Load More Posts
LATEST NEWS
-
CULTURE PLAYS AN IMPORTANT ROLE IN ECONOMIC DEVELOPMENT -
THE PRIDE OF WOLAYTA: THE HEROIC BOXER BETEL WOLDE -
THE PEACEFUL CELEBRATION OF EID HOLIDAY IN HARAR CITY -
MADAGASCAR ORPHANED CHILDREN AND YOUTH WITH DISABILITIES -
CELEBRATING INTERNATIONAL WOMEN’S DAY IN MADAGASCAR -
THE ETHIOPIAN WOMEN’S PREMIER LEAGUE -
THE OROMO CULTURAL EXHIBITION -
MORONDAVA CELEBRATES INTERNATIONAL WOMEN’S RIGHTS DAY -
THE REHABILITATION OF THE FISH FARM IN FONKOTANY ANTANIMIHAVOTRA -
SENEGAL’S STUNNING VICTORY OVER EGYPT IN A WORLD CUP QUALIFIER


















