Select Page
#3849
Joram
ADMINSTRATOR

    Msarifu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation

    Msarifu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Uongozi wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa Foundation ukiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa bodi Balozi Tuvako Manongi.

    Benjamin Mkapa Foundation

    Benjamin Mkapa Foundation

    Benjamin Mkapa Foundation

    Benjamin Mkapa Foundation

    Benjamin Mkapa FoundationAkiambatana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo Dk. Ellen Senkoro pamoja na Wafanyakazi wa taasisi hiyo.