Select Page
#3848
Joram
ADMINSTRATOR

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Gavana mpya wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bank of Tanzania Emmanuel Mpawe Tutuba.BOT Zanzibar

    BOT Zanzibar

    BOT Zanzibar

    BOT Zanzibar

    BOT ZanzibarAliambatana na Waziri Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Dkt. Saada Salum, Gavana Mstaafu Prof. Florens Luoga na Wafanyakazi kutoka Matawi ya BOT Zanzibar na Bara. Leo Jumatano, 18 Januari 2023.